
Ommy Di,poz amesema” Nilipigiwa simu Ya kibiashara kwa ajili ya kufanya show na global publishers kwasababu Hatukuhafikiana kwenye malipo ndo wameamua kunichafua, Nimesikitishwa sana na Hii Habari iliyotoka global publishers Wanatengeneza story ili Wauze magazeti yao
